| Watumishi wa halmashauri ya Mbogwe mkoani Geita wakiwa katika picha ya pamoja na maafisa wa TASAF wakati wa mafunzo ya mpango wa kuzinusuru kaya masikini. |
| Mwakilishi wa mkurugenzi wa TASAF Alphonce Kialiga akizungumza na watumishi hao,ambapo aliwataka kusimamia kikamilifu mpango huo ili uwafikie walengwa. |
| Maafisa wawezeshaji kutoka kata mbalimbali. |
| Mafunzo yanaendeea |
No comments:
Post a Comment