Wednesday, March 11, 2015

WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA HUKO IRINGA



Tunafuatilia kwa  karibu taarifa ya ajali mbaya sana ambayo imetokea eneo la Changalawe, Mafinga, mkoani Iringa  basi la Majinja toka likitokea Mbeya kwenda Dar es salaam limeangukiwa na kontena na taarifa zisizo rasmi zinasema abiria wengi wamepoteza maisha yao. 

Habari hizo pia zinasema hadi sasa kuna maiti 36 hospitalini na ambao wanatibiwa majeraha wodini ni wanne. Tunaendelea kufuatilia.

2 comments:

  1. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  2. Reliable Dedicated Hosting

    Dedicated hosting servers can bring your online business to next level. If you are serious about your business you should opt for dedicated hosting servers only.


    to Learn more - https://www.dedicatedhosting4u.com/


    ReplyDelete