| Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Anselm Tarimo akikabidhi mashine kwa viongozi kutoka kila halmashauri,huku akisisitiza kuhakikisha wanazitunza ili ziwe na tija kwa vijana. |
| Wakifuatilia maelekezo ya katibu tawala mkoa. |
| Viongozi kutoka halmashauri za mkoa wa Shinyanga |
| Wafanyakazi wa NHC mkoa wa Shinyanga wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza zoezi la kukabidhi mashine. |
| Picha za kumbkumbu zinaendelea kutoka kwa viongozi mbalimbali. |
No comments:
Post a Comment