| Huduma ya matibu kwa majeruhi inaendelea. |
| Mmoja wa majeruhi akipatiwa matibabu na madaktari katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga. |
| Madaktari na manesi wakiendelea kutoa huduma ya matibabu kwa majeruhi. |
| Majeruhi akipelekwa wodini |
| Majeruhi wa ajali ya fuso. |
No comments:
Post a Comment