| Viongozi wa kituo cha Buhangija wakiwa na mkuu wa kikosi cha 516 kambi ya kizumbi. |
| Wanajeshi wakifanya usafi wa mazingira katika kituo cha Buhangija kinacholea watoto wasioona,walemavu wa viungo,wasiosikia na Albino. |
| Sehemu ya misaada iliyotolewa na kikosi cha 516 kambi ya Kizumbi. |
| Watoto wenye ulemavu wa ngozi Albino wakiwa katika eneo la kituo chao wanapolelewa. |
| Watoto wanaolelewa katika kituo cha Buhangija wakiwa na wanajeshi kikosi cha 516 kambi ya Kizumbi. |
No comments:
Post a Comment