| Wananchi wakichukuwa kadi za chama cha ACT-Tanzania alizokuwa anazitoa mwenyekiti wa chama hicho taifa Kadawi Limbu. |
| Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano wa hadhara. |
| Mjumbe wa halmashauri kuu taifa ACT-Tanzania Athuman Balozi kutoka mkoa wa Tabora akizungumza na wakazi wa manispaa ya Shinyanga kwenye mkutano wa hadhara. |
| Viongozi wa ACT-Tanzania wakiwa meza kuu mara baada ya mwenyekiti wa chama hicho taifa kuwasili uwanjani. |
| Msafara wa mwenyekiti wa ACT-Tanzania ukiwasili eneo la mkutano ukiwa umetanguliwa na piki piki. |
| Gari la chama cha ACT -Tanzania |
| Mratibu wa ACT-Tanzania mkoa wa Shinyanga Benedict Kishija akizungumza na wakazi wa manispaa ya Shinyanga. |
| Viongozi mbalimbali wanaendelea kutoa salamu za ACT-Tanzania kwa wakazi wa mkoa wa Shinyanga,jukwaani ni Idd Mapande kutoka wilaya ya Kahama. |
| Mkutano unaendelea |
| Wananchi |
| Mwenyekiti wa ACT- Tanzania mkoa wa Shinyanga Justina Kimisha akieleza sera za chama hicho.(Picha zote na Stella blog) |
No comments:
Post a Comment