Monday, September 1, 2014

HII NDIYO NGOMA MATATA KUTOKA WILAYA YA KISHAPU WAKICHEZA KWA KUTUMIA MAJEMBE,BONYEZA HAPA UJIONEE

 Hili ni kundi jingine matata la ngoma kutoka wilayani Kishapu maarufu kwa jina "Majembe".Hawa wanacheza kwa kutumia majembe.Pia wamejipatia umaarufu sana maana wanaburudisha sana .
Kundi la Majembe likitoa burudani,pasipo na vumbi panatoka vumbi.
Kikundi cha Majembe kikitoa burudani mjini Shinyanga.Hilo vumbi ni la kazi,majembe yanafanya kazi.

Kundi la Majembe kutoka Kishapu wakifanya yao .
Kikundi cha ngoma maarufu kwa jina la Makhirikhiri kutoka wilayani Kishapu wakitoa burudani katika mkutano wa CCM jana katika kata ya Ngokolo mjini Shinyanga.Kundi hili la Makhirikhiri limejizulia umaarufu kutokana na staili zao za kucheza,hasa wakifananishwa na Makhirikhiri wa Botswana . Picha zote na Kadama Malunde.
 

No comments:

Post a Comment