| Mhasibu mkuu wa serikali mkoa wa Shinyanga Burton Mwakanyamale akiweka shada la maua kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa mji |
| Meya wa manispaa ya Shinyanga Gulamu Hafidhi akiweka upinde na mkuki ikiwa ni kuashiria kuwakumbuka mashujaa waliopigana vita ya pili ya dunia |
| Afisa uhamiaji mkoa wa Shinyanga Annamaria Yondani akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa. |
| Mzee Omari Mbushi mkazi wa kijiji cha Bugayambelele manispaa ya Shinyanga, ambaye alipigana vita ya pili ya dunia akiweka shoka kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa. |
| Viongozi wa madhehebu ya dini na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Shinyanga wakiwa eneo la mnara wa kumbukumbu ya mashujaa. |
| Wananchi na viongozi wa mkoa wa wakiwa kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa ambao ulijengwa mwaka 1972 mazingira centre manispaa ya Shinyanga. |
| Maadhimisho yanaendelea |
| Kaimu mkuu wa mkoa wa Shinyanga Annarose Nyamubi ambaye pia ni mkuu wa wilaya hiyo,akiweka ngao kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa katika viwanja vya mazingira centre mjini Shinyanga. |
| Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Shinyanga |
| Viongozi wa serikali wakiwa eneo ulipojengwa mnara wa kumbukumbu ya mashujaa. |
No comments:
Post a Comment